Kutoka 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Nawe utafanya pazia+ la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa. Atalifanya likiwa na makerubi,+ kazi ya mtarizi. Waebrania 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tumaini+ hilo tunalo kama nanga ya nafsi, likiwa hakika na imara, nalo huingia mle ndani ya pazia,+ Waebrania 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 aliyotuzindulia kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,+
31 “Nawe utafanya pazia+ la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa. Atalifanya likiwa na makerubi,+ kazi ya mtarizi.
19 Tumaini+ hilo tunalo kama nanga ya nafsi, likiwa hakika na imara, nalo huingia mle ndani ya pazia,+