Mathayo 27:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Lakini yule ofisa-jeshi na wale waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoona tetemeko la nchi na mambo yaliyokuwa yakitendeka, wakaogopa sana, wakisema: “Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+ Luka 23:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Kwa sababu ya kuona lililokuwa limetukia yule ofisa-jeshi akaanza kumtukuza Mungu, akisema: “Kwa kweli mtu huyu alikuwa mwadilifu.”+
54 Lakini yule ofisa-jeshi na wale waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoona tetemeko la nchi na mambo yaliyokuwa yakitendeka, wakaogopa sana, wakisema: “Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+
47 Kwa sababu ya kuona lililokuwa limetukia yule ofisa-jeshi akaanza kumtukuza Mungu, akisema: “Kwa kweli mtu huyu alikuwa mwadilifu.”+