Kutoka 25:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nawe utauweka mkate wa wonyesho juu ya meza hiyo mbele zangu daima.+ Kutoka 29:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naye Haruni na wanawe wataila+ nyama ya kondoo huyo na mkate ulio katika kikapu kwenye mlango wa hema la mkutano. Mambo ya Walawi 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao utakuwa wa Haruni na wa wanawe,+ nao wataula katika mahali patakatifu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu zaidi kwa ajili yake kutoka kwa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, kama sharti mpaka wakati usio na kipimo.”
32 Naye Haruni na wanawe wataila+ nyama ya kondoo huyo na mkate ulio katika kikapu kwenye mlango wa hema la mkutano.
9 Nao utakuwa wa Haruni na wa wanawe,+ nao wataula katika mahali patakatifu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu zaidi kwa ajili yake kutoka kwa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, kama sharti mpaka wakati usio na kipimo.”