Mathayo 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Yesu akawaambia: “Je, rafiki za bwana-arusi wana sababu ya kuomboleza, maadamu bwana-arusi+ yupo pamoja nao? Lakini siku zitakuja wakati ambapo bwana-arusi ataondolewa+ kwao, ndipo watakapofunga.+ Luka 5:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Lakini siku zitakuja wakati ambapo kwa kweli bwana-arusi+ ataondolewa kwao;+ ndipo watakapofunga siku hizo.”+ Yohana 8:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Baba yenu Abrahamu alishangilia sana katika tazamio la kuona siku yangu,+ naye aliiona na kushangilia.”+
15 Ndipo Yesu akawaambia: “Je, rafiki za bwana-arusi wana sababu ya kuomboleza, maadamu bwana-arusi+ yupo pamoja nao? Lakini siku zitakuja wakati ambapo bwana-arusi ataondolewa+ kwao, ndipo watakapofunga.+
35 Lakini siku zitakuja wakati ambapo kwa kweli bwana-arusi+ ataondolewa kwao;+ ndipo watakapofunga siku hizo.”+
56 Baba yenu Abrahamu alishangilia sana katika tazamio la kuona siku yangu,+ naye aliiona na kushangilia.”+