Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 107:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kuna wale waliokuwa wakikaa katika giza na kivuli kizito,+

      Wafungwa katika mateso na vyuma.+

  • Isaya 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watu waliokuwa wakitembea katika giza wameona nuru kuu.+ Kwa habari ya wale wanaokaa katika nchi yenye kivuli kizito,+ nuru imewaangazia.+

  • Isaya 49:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 kuwaambia wafungwa,+ ‘Tokeni nje!’+ kuwaambia wale walio gizani,+ ‘Jifunueni!’+ Watalisha kando ya njia, na malisho yao yatakuwa kwenye mapito yote yaliyokanyagwa.+

  • Isaya 59:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndiyo sababu haki imekuwa mbali sana nasi, na uadilifu hautufikii. Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! giza; kutumainia mwangaza, lakini tukazidi kutembea katika weusi unaoendelea.+

  • Mathayo 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 watu wanaokaa katika giza+ waliona nuru kuu,+ na kwa habari ya wale wanaokaa katika eneo la kivuli cha kifo, nuru+ iliwazukia.”+

  • Matendo 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 kufungua macho+ yao, kuwageuza kutoka katika giza+ kuingia katika nuru+ na kutoka katika mamlaka ya Shetani+ na kumgeukia Mungu, kusudi wapokee msamaha wa dhambi+ na urithi+ kati ya wale waliotakaswa+ kwa imani yao kwangu.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki