Mathayo 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na, tazama! wanaume wawili vipofu walikuwa wameketi kando ya barabara, waliposikia kwamba Yesu anapitia hapo, wakapaaza sauti, wakisema: “Bwana, uturehemu, Mwana wa Daudi!”+ Luka 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao wakapaaza sauti zao na kusema: “Yesu, Mwalimu, tuhurumie!”+
30 Na, tazama! wanaume wawili vipofu walikuwa wameketi kando ya barabara, waliposikia kwamba Yesu anapitia hapo, wakapaaza sauti, wakisema: “Bwana, uturehemu, Mwana wa Daudi!”+