Mathayo 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi alipoingia ndani ya hekalu, wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakamjia alipokuwa akifundisha, nao wakasema:+ “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka hiyo?”+
23 Basi alipoingia ndani ya hekalu, wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakamjia alipokuwa akifundisha, nao wakasema:+ “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka hiyo?”+