37 Wenye furaha ni watumwa ambao bwana anapofika anawakuta wakikesha!+ Kwa kweli ninawaambia ninyi, Yeye atajifunga+ na kuwaketisha mezani naye atakuja kando na kuwahudumia.+
9 Naye ananiambia: “Andika: Wenye furaha ni wale walioalikwa+ kwenye mlo wa jioni wa ndoa ya Mwana-Kondoo.”+ Pia, ananiambia: “Hayo ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.”+