15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+
10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
9 Mara moja Musa akafanya nyoka wa shaba+ na kumweka juu ya nguzo ya ishara;+ na ikawa kwamba nyoka alipomuuma mtu naye akamtazama+ yule nyoka wa shaba, ndipo alipoendelea kuwa hai.+