Mathayo 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa mfano, ni jambo gani lililo rahisi zaidi, kusema, Dhambi zako zimesamehewa, au kusema, Simama, utembee?+ Marko 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni jambo gani lililo rahisi zaidi, kumwambia mwenye kupooza, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, uchukue kitanda chako, utembee’?+
5 Kwa mfano, ni jambo gani lililo rahisi zaidi, kusema, Dhambi zako zimesamehewa, au kusema, Simama, utembee?+
9 Ni jambo gani lililo rahisi zaidi, kumwambia mwenye kupooza, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, uchukue kitanda chako, utembee’?+