Mathayo 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Naye akaunyoosha, nao ukarudishwa kuwa mzima kama ule mkono mwingine.+ Marko 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na baada ya kuwatazama huku na huku kwa ghadhabu, akiwa amehuzunishwa na jinsi mioyo yao+ ilivyokuwa migumu, akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Naye akaunyoosha, na mkono wake ukapona.+
13 Ndipo akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Naye akaunyoosha, nao ukarudishwa kuwa mzima kama ule mkono mwingine.+
5 Na baada ya kuwatazama huku na huku kwa ghadhabu, akiwa amehuzunishwa na jinsi mioyo yao+ ilivyokuwa migumu, akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Naye akaunyoosha, na mkono wake ukapona.+