Mathayo 19:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba itakuwa vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbinguni.+ 1 Timotheo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+ 2 Timotheo 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 wasaliti,+ wenye vichwa vigumu, wenye kujivuna kwa kiburi,+ wanaopenda raha badala ya kumpenda Mungu+ 2 Timotheo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo+ wa sasa, naye ameenda Thesalonike; Kresensi ameenda Galatia,+ Tito ameenda Dalmatia.
23 Lakini Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba itakuwa vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbinguni.+
9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+
4 wasaliti,+ wenye vichwa vigumu, wenye kujivuna kwa kiburi,+ wanaopenda raha badala ya kumpenda Mungu+
10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo+ wa sasa, naye ameenda Thesalonike; Kresensi ameenda Galatia,+ Tito ameenda Dalmatia.