Mathayo 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+ Marko 5:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau. Lakini, akiisha kuwatoa nje wote, akamchukua baba na mama ya huyo mtoto mchanga na walio pamoja naye, naye akaingia mahali alipokuwa mtoto huyo.+
24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+
40 Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau. Lakini, akiisha kuwatoa nje wote, akamchukua baba na mama ya huyo mtoto mchanga na walio pamoja naye, naye akaingia mahali alipokuwa mtoto huyo.+