Mathayo 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo akawaita wanafunzi wake kumi na wawili na kuwapa mamlaka juu ya roho wachafu,+ ili wawafukuze na kuponya kila namna ya ugonjwa na kila namna ya udhaifu. Marko 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akafanyiza kikundi cha watu kumi na wawili, ambao pia aliwaita “mitume,” ili waendelee kuwa pamoja naye na awatume wakahubiri+ Marko 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa akawaita wale kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawili-wawili,+ naye akaanza kuwapa mamlaka juu ya roho wachafu.+
10 Kwa hiyo akawaita wanafunzi wake kumi na wawili na kuwapa mamlaka juu ya roho wachafu,+ ili wawafukuze na kuponya kila namna ya ugonjwa na kila namna ya udhaifu.
14 Naye akafanyiza kikundi cha watu kumi na wawili, ambao pia aliwaita “mitume,” ili waendelee kuwa pamoja naye na awatume wakahubiri+
7 Sasa akawaita wale kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawili-wawili,+ naye akaanza kuwapa mamlaka juu ya roho wachafu.+