14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa katikati yetu, nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule ulio wa mwana mzaliwa-pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa fadhili nyingi zisizostahiliwa na kweli.+
16 Sivyo, haikuwa kwa kufuata hadithi za uwongo zilizotungwa+ kwa ufundi kwamba tuliwafahamisha ninyi juu ya nguvu na kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo,+ lakini ilikuwa kwa sisi kuwa mashahidi wa kujionea fahari yake.+