1 Wakorintho 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Au, je, yeye hasemi hilo kwa ajili yetu tu? Kwa kweli hilo liliandikwa kwa ajili yetu,+ kwa sababu mtu anayelima anapaswa kulima akiwa na tumaini na mtu anayepura anapaswa kupura akiwa na tumaini la kula.+ 1 Wakorintho 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Je, hamjui kwamba wakimbiaji+ katika mbio wote hukimbia, lakini ni mmoja tu anayepokea tuzo?+ Kimbieni+ kwa namna ya kwamba mweze kupata tuzo.+
10 Au, je, yeye hasemi hilo kwa ajili yetu tu? Kwa kweli hilo liliandikwa kwa ajili yetu,+ kwa sababu mtu anayelima anapaswa kulima akiwa na tumaini na mtu anayepura anapaswa kupura akiwa na tumaini la kula.+
24 Je, hamjui kwamba wakimbiaji+ katika mbio wote hukimbia, lakini ni mmoja tu anayepokea tuzo?+ Kimbieni+ kwa namna ya kwamba mweze kupata tuzo.+