44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+
8 Lakini linasema nini? “Lile neno liko karibu nawe, katika kinywa chako mwenyewe na katika moyo wako mwenyewe”;+ yaani, “neno”+ la imani, ambalo sisi tunahubiri.+