1 Wakorintho 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima,+ na akili ya watu wenye akili+ nitaitupa kando.”+ 1 Wakorintho 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi tunasema hekima katikati ya wale ambao ni wakomavu,+ lakini si hekima+ ya mfumo huu wa mambo wala ile ya watawala wa mfumo huu wa mambo,+ ambao watakuja kuwa si kitu.+
19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima,+ na akili ya watu wenye akili+ nitaitupa kando.”+
6 Basi tunasema hekima katikati ya wale ambao ni wakomavu,+ lakini si hekima+ ya mfumo huu wa mambo wala ile ya watawala wa mfumo huu wa mambo,+ ambao watakuja kuwa si kitu.+