19 Ee Yehova, usikie.+ Ee Yehova, usamehe.+ Ee Yehova, sikiliza utende.+ Usikawie,+ kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jina lako mwenyewe limeitwa juu ya jiji lako na juu ya watu wako.”+
6 Hata hivyo, ili mjue kwamba Mwana wa binadamu ana mamlaka duniani ya kusamehe dhambi+—” ndipo akamwambia yule mwenye kupooza: “Simama, chukua kitanda chako, uende nyumbani kwako.”+