Mathayo 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Akijua fikira zao,+ akawaambia: “Kila ufalme uliogawanyika na kupingana wenyewe unaangamia,+ na kila jiji au nyumba iliyogawanyika na kupingana yenyewe haitasimama. Marko 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwani, ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama;+
25 Akijua fikira zao,+ akawaambia: “Kila ufalme uliogawanyika na kupingana wenyewe unaangamia,+ na kila jiji au nyumba iliyogawanyika na kupingana yenyewe haitasimama.