Mathayo 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu ninyi husafisha upande wa nje wa kikombe+ na wa sahani, lakini upande wa ndani vimejaa vitu vilivyoporwa+ na mambo yenye kupita kiasi.
25 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu ninyi husafisha upande wa nje wa kikombe+ na wa sahani, lakini upande wa ndani vimejaa vitu vilivyoporwa+ na mambo yenye kupita kiasi.