Mathayo 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Kwa hiyo mimi ninawaambia ninyi, Watu watasamehewa kila namna ya dhambi na kufuru, lakini hawatasamehewa kufuru juu ya roho.+ Marko 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hata hivyo, yeyote yule anayekufuru roho takatifu hatapata msamaha milele, bali ana hatia ya dhambi ya milele.”+ 1 Yohana 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeyote akimwona ndugu yake anafanya dhambi, dhambi ambayo haileti kifo,+ yeye ataomba, naye atampa huyo uzima,+ ndiyo, kwa wale ambao hawafanyi dhambi inayoleta kifo.+ Kuna dhambi ambayo huleta kifo. Ni kuhusu dhambi hiyo kwamba simwambii aombe.+
31 “Kwa hiyo mimi ninawaambia ninyi, Watu watasamehewa kila namna ya dhambi na kufuru, lakini hawatasamehewa kufuru juu ya roho.+
29 Hata hivyo, yeyote yule anayekufuru roho takatifu hatapata msamaha milele, bali ana hatia ya dhambi ya milele.”+
16 Yeyote akimwona ndugu yake anafanya dhambi, dhambi ambayo haileti kifo,+ yeye ataomba, naye atampa huyo uzima,+ ndiyo, kwa wale ambao hawafanyi dhambi inayoleta kifo.+ Kuna dhambi ambayo huleta kifo. Ni kuhusu dhambi hiyo kwamba simwambii aombe.+