Yohana 18:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangepigana+ ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini, kama ilivyo, ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.” Matendo 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini yule aliyekuwa akimtendea jirani yake isivyo haki akamsukuma mbali, akisema, ‘Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mtawala na mwamuzi juu yetu?+
36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangepigana+ ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini, kama ilivyo, ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.”
27 Lakini yule aliyekuwa akimtendea jirani yake isivyo haki akamsukuma mbali, akisema, ‘Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mtawala na mwamuzi juu yetu?+