Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 na, tazama! mtu mwenye mkono uliopooza!+ Kwa hiyo ili wapate jambo la kumshitaki wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”+

  • Luka 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninawauliza ninyi, Je, katika siku ya sabato ni halali kutenda mema+ au kutenda mabaya, kuokoa au kuangamiza nafsi?”+

  • Luka 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hata hivyo, Bwana akamjibu na kusema: “Wanafiki,+ je, kila mmoja wenu siku ya sabato hafungui ng’ombe wake au punda wake kutoka kwenye kibanda na kumpeleka akamnyweshe?+

  • Yohana 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ikiwa mtu anatahiriwa siku ya sabato ili sheria ya Musa isivunjwe, je, mnanikasirikia kwa sababu nilimfanya mtu awe na afya nzuri siku ya sabato?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki