Mathayo 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na, tazama! mtu mwenye mkono uliopooza!+ Kwa hiyo ili wapate jambo la kumshitaki wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”+ Luka 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninawauliza ninyi, Je, katika siku ya sabato ni halali kutenda mema+ au kutenda mabaya, kuokoa au kuangamiza nafsi?”+ Luka 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, Bwana akamjibu na kusema: “Wanafiki,+ je, kila mmoja wenu siku ya sabato hafungui ng’ombe wake au punda wake kutoka kwenye kibanda na kumpeleka akamnyweshe?+ Yohana 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ikiwa mtu anatahiriwa siku ya sabato ili sheria ya Musa isivunjwe, je, mnanikasirikia kwa sababu nilimfanya mtu awe na afya nzuri siku ya sabato?+
10 na, tazama! mtu mwenye mkono uliopooza!+ Kwa hiyo ili wapate jambo la kumshitaki wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”+
9 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninawauliza ninyi, Je, katika siku ya sabato ni halali kutenda mema+ au kutenda mabaya, kuokoa au kuangamiza nafsi?”+
15 Hata hivyo, Bwana akamjibu na kusema: “Wanafiki,+ je, kila mmoja wenu siku ya sabato hafungui ng’ombe wake au punda wake kutoka kwenye kibanda na kumpeleka akamnyweshe?+
23 Ikiwa mtu anatahiriwa siku ya sabato ili sheria ya Musa isivunjwe, je, mnanikasirikia kwa sababu nilimfanya mtu awe na afya nzuri siku ya sabato?+