Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa sababu watu wenye kuteseka wewe mwenyewe utawaokoa;+

      Bali macho yenye majivuno utayashusha.+

  • Methali 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Majivuno ya mtu wa udongo yatamshusha,+ lakini yeye aliye na roho ya unyenyekevu atapata utukufu.+

  • Mathayo 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yeyote yule anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote yule anayejinyenyekeza atainuliwa.+

  • Yakobo 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki