Marko 14:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Lakini akakana, akisema: “Simjui wala sielewi unalosema,” naye akaenda nje kwenye sebule.+ Yohana 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Ndipo wakamwambia: “Wewe pia ni mmoja wa wanafunzi wake, sivyo?” Akakana na kusema: “Hapana.”+
25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Ndipo wakamwambia: “Wewe pia ni mmoja wa wanafunzi wake, sivyo?” Akakana na kusema: “Hapana.”+