Mathayo 26:74 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 74 Ndipo akaanza kulaani na kuapa: “Simjui mtu huyo!” Na mara jogoo akawika.+ Marko 14:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Na mara jogoo akawika mara ya pili;+ na Petro akakumbuka maneno ambayo Yesu alimwambia: “Kabla ya jogoo kuwika mara mbili, utanikana mara tatu.”+ Naye akaanza kulia.+ Luka 22:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Lakini Petro akasema: “Wee mtu, mimi sijui unalosema.” Na mara tu, alipokuwa bado akisema, jogoo akawika.+ Yohana 13:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yesu akajibu: “Je, utaitoa nafsi yako kwa ajili yangu? Kwa kweli kabisa ninakuambia, Jogoo hatawika mpaka uwe umenikana mara tatu.”+
72 Na mara jogoo akawika mara ya pili;+ na Petro akakumbuka maneno ambayo Yesu alimwambia: “Kabla ya jogoo kuwika mara mbili, utanikana mara tatu.”+ Naye akaanza kulia.+
60 Lakini Petro akasema: “Wee mtu, mimi sijui unalosema.” Na mara tu, alipokuwa bado akisema, jogoo akawika.+
38 Yesu akajibu: “Je, utaitoa nafsi yako kwa ajili yangu? Kwa kweli kabisa ninakuambia, Jogoo hatawika mpaka uwe umenikana mara tatu.”+