Yohana 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, wakuu wa makuhani na maofisa walipomwona, wakapaaza sauti, wakisema: “Mtundike mtini! Mtundike mtini!”+ Pilato akawaambia: “Mchukueni ninyi wenyewe mkamtundike mtini, kwa maana mimi sioni kosa lolote ndani yake.”+ Matendo 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini kama ni mabishano juu ya maneno na majina+ na sheria+ kati yenu, amueni ninyi wenyewe. Mimi sitaki kuwa mwamuzi wa mambo haya.”
6 Hata hivyo, wakuu wa makuhani na maofisa walipomwona, wakapaaza sauti, wakisema: “Mtundike mtini! Mtundike mtini!”+ Pilato akawaambia: “Mchukueni ninyi wenyewe mkamtundike mtini, kwa maana mimi sioni kosa lolote ndani yake.”+
15 Lakini kama ni mabishano juu ya maneno na majina+ na sheria+ kati yenu, amueni ninyi wenyewe. Mimi sitaki kuwa mwamuzi wa mambo haya.”