Mathayo 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini ninawaambia ninyi kwamba kitu kikuu kuliko hekalu+ kiko hapa. Mathayo 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+ Luka 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 akisema kwamba Mwana wa binadamu lazima atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na kutundikwa mtini na bado siku ya tatu afufuliwe.”+ 1 Wakorintho 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwani! Je, hamjui kwamba mwili wenu ni hekalu+ la roho takatifu ndani yenu,+ mliyo nayo kutoka kwa Mungu? Pia, ninyi si mali yenu wenyewe,+
21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+
7 akisema kwamba Mwana wa binadamu lazima atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na kutundikwa mtini na bado siku ya tatu afufuliwe.”+
19 Kwani! Je, hamjui kwamba mwili wenu ni hekalu+ la roho takatifu ndani yenu,+ mliyo nayo kutoka kwa Mungu? Pia, ninyi si mali yenu wenyewe,+