16 Mambo haya wanafunzi wake hawakuyajali hapo kwanza,+ lakini Yesu alipotukuzwa,+ ndipo walipokumbuka kwamba mambo haya yalikuwa yameandikwa juu yake na kwamba walimtendea mambo hayo.+
26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+