Luka 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo wakaanza kumshtaki,+ wakisema: “Tulimkuta mtu huyu akipindua+ taifa letu na kuwakataza watu wasimlipe Kaisari kodi+ na kusema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo mfalme.”+ Matendo 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na Yasoni amewakaribisha. Na watu wote hawa wanapingana na maagizo+ ya Kaisari, wakisema kuna mfalme+ mwingine, Yesu.”
2 Ndipo wakaanza kumshtaki,+ wakisema: “Tulimkuta mtu huyu akipindua+ taifa letu na kuwakataza watu wasimlipe Kaisari kodi+ na kusema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo mfalme.”+
7 na Yasoni amewakaribisha. Na watu wote hawa wanapingana na maagizo+ ya Kaisari, wakisema kuna mfalme+ mwingine, Yesu.”