Mathayo 27:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Mtu huyu alimwendea Pilato na kuomba apewe mwili wa Yesu.+ Ndipo Pilato akaamuru apewe huo.+ Marko 15:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Yosefu wa Arimathea, mshiriki wa Baraza mwenye kusifika, ambaye pia alikuwa akiungojea ufalme wa Mungu, akaja.+ Akajipa moyo kuingia mbele ya Pilato na kuomba apewe mwili+ wa Yesu. Luka 23:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Na, tazama! mwanamume aliyeitwa Yosefu, ambaye alikuwa mshiriki wa Baraza, mtu mwema na mwadilifu+—
43 Yosefu wa Arimathea, mshiriki wa Baraza mwenye kusifika, ambaye pia alikuwa akiungojea ufalme wa Mungu, akaja.+ Akajipa moyo kuingia mbele ya Pilato na kuomba apewe mwili+ wa Yesu.
50 Na, tazama! mwanamume aliyeitwa Yosefu, ambaye alikuwa mshiriki wa Baraza, mtu mwema na mwadilifu+—