Mambo ya Walawi 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye atautikisa huo mganda huku na huku,+ mbele za Yehova ili kupata kibali kwa ajili yenu. Siku itakayofuata sabato kuhani atautikisa huku na huku. 1 Wakorintho 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+
11 Naye atautikisa huo mganda huku na huku,+ mbele za Yehova ili kupata kibali kwa ajili yenu. Siku itakayofuata sabato kuhani atautikisa huku na huku.
20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+