Yohana 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Yesu, akijua walikuwa karibu kuja kumkamata wamfanye kuwa mfalme, akaondoka+ tena kwenda mlimani akiwa peke yake.
15 Kwa hiyo Yesu, akijua walikuwa karibu kuja kumkamata wamfanye kuwa mfalme, akaondoka+ tena kwenda mlimani akiwa peke yake.