Luka 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 lakini macho yao yalizuiwa wasiweze kumtambua.+ Luka 24:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo macho yao yakafunguliwa kikamili nao wakamtambua; naye akatoweka kutoka kwao.+ Yohana 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, ilipokuwa tu inakaribia kuwa asubuhi, Yesu akasimama pwani, lakini wanafunzi, bila shaka, hawakufahamu kwamba ni Yesu.+
4 Hata hivyo, ilipokuwa tu inakaribia kuwa asubuhi, Yesu akasimama pwani, lakini wanafunzi, bila shaka, hawakufahamu kwamba ni Yesu.+