Mathayo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi+ kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba+ na la Mwana+ na la roho takatifu,+ Yohana 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, vivyo hivyo mimi pia nimewatuma ulimwenguni.+ 2 Timotheo 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+
19 Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi+ kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba+ na la Mwana+ na la roho takatifu,+
2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+