Luka 1:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Na Zekaria baba yake akajazwa roho takatifu,+ naye akatoa unabii,+ akisema: Luka 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na, tazama! palikuwa na mtu mmoja katika Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, na mtu huyo alikuwa mwadilifu na mwenye kumheshimu Mungu, akingojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake. Matendo 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na ghafula kukatokea kutoka mbinguni kelele kama ile ya upepo wenye nguvu unaovuma, nao ukaijaza nyumba yote ambamo walikuwa wameketi.+ Matendo 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 nao wote wakajazwa roho takatifu+ wakaanza kusema katika lugha+ tofauti, kama vile roho ilivyokuwa ikiwawezesha kusema.
25 Na, tazama! palikuwa na mtu mmoja katika Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, na mtu huyo alikuwa mwadilifu na mwenye kumheshimu Mungu, akingojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.
2 na ghafula kukatokea kutoka mbinguni kelele kama ile ya upepo wenye nguvu unaovuma, nao ukaijaza nyumba yote ambamo walikuwa wameketi.+
4 nao wote wakajazwa roho takatifu+ wakaanza kusema katika lugha+ tofauti, kama vile roho ilivyokuwa ikiwawezesha kusema.