Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 1:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 67 Na Zekaria baba yake akajazwa roho takatifu,+ naye akatoa unabii,+ akisema:

  • Luka 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na, tazama! palikuwa na mtu mmoja katika Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, na mtu huyo alikuwa mwadilifu na mwenye kumheshimu Mungu, akingojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.

  • Matendo 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na ghafula kukatokea kutoka mbinguni kelele kama ile ya upepo wenye nguvu unaovuma, nao ukaijaza nyumba yote ambamo walikuwa wameketi.+

  • Matendo 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 nao wote wakajazwa roho takatifu+ wakaanza kusema katika lugha+ tofauti, kama vile roho ilivyokuwa ikiwawezesha kusema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki