Yohana 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ili kila mtu anayemwamini apate kuwa na uzima wa milele.+ Yohana 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Yule ambaye husikia neno langu na kumwamini yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye haingii hukumuni bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia katika uzima.+ 1 Petro 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 huku mkipokea tokeo la mwisho la imani yenu, ule wokovu wa nafsi zenu.+ 1 Yohana 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ninawaandikia mambo haya ili mjue kwamba ninyi mnao uzima wa milele,+ ninyi ambao mmekuwa na imani katika jina la Mwana wa Mungu.+
24 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Yule ambaye husikia neno langu na kumwamini yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye haingii hukumuni bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia katika uzima.+
13 Ninawaandikia mambo haya ili mjue kwamba ninyi mnao uzima wa milele,+ ninyi ambao mmekuwa na imani katika jina la Mwana wa Mungu.+