35 Na yeye ambaye ameona hilo ametoa ushahidi, nao ushahidi wake ni wa kweli, na mtu huyo anajua kwamba yeye husema mambo ya kweli, ili ninyi pia mweze kuamini.+
12 Demetrio ametolewa ushahidi na wao wote+ na ile kweli yenyewe. Kwa kweli, sisi, pia, tunatoa ushahidi,+ nanyi mnajua kwamba ushahidi tunaotoa ni wa kweli.+