58 “Sisi tulimsikia akisema, ‘Nitaliangusha hekalu hili lililotengenezwa kwa mikono na katika siku tatu nitajenga lingine lisilotengenezwa kwa mikono.’ ”+
11 Hata hivyo, Kristo alipokuja akiwa kuhani mkuu+ wa mambo mema ambayo yamekwisha kuwa, kupitia hema kubwa zaidi na kamilifu zaidi ambalo halikufanywa kwa mikono, yaani, si la uumbaji huu,+