Mathayo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Mafarisayo+ na Masadukayo wakamkaribia na, ili kumjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.+ Yohana 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo, Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Una ishara+ gani ya kutuonyesha, kwa kuwa unafanya mambo haya?” 1 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara+ na Wagiriki wanatafuta hekima;+
16 Ndipo Mafarisayo+ na Masadukayo wakamkaribia na, ili kumjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.+
18 Kwa hiyo, Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Una ishara+ gani ya kutuonyesha, kwa kuwa unafanya mambo haya?”