Mathayo 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo akaugusa mkono+ wake, na homa ikamwacha, naye akasimama na kuanza kumhudumia.+ Matendo 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ikawa kwamba baba ya Publio alikuwa amelala akitaabishwa na homa na ugonjwa wa kuhara damu, na Paulo akaingia alimokuwa na kusali, akaweka mikono+ yake juu yake akamponya.+
8 Lakini ikawa kwamba baba ya Publio alikuwa amelala akitaabishwa na homa na ugonjwa wa kuhara damu, na Paulo akaingia alimokuwa na kusali, akaweka mikono+ yake juu yake akamponya.+