Yohana 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yesu alifanya jambo hilo katika Kana ya Galilaya likiwa mwanzo wa ishara zake, naye akaufunua utukufu+ wake; na wanafunzi wake wakamwamini.
11 Yesu alifanya jambo hilo katika Kana ya Galilaya likiwa mwanzo wa ishara zake, naye akaufunua utukufu+ wake; na wanafunzi wake wakamwamini.