Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mimi siwezi kufanya lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe; kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu ninayotoa ni ya uadilifu,+ kwa sababu ninatafuta, si mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi+ yake aliyenituma.

  • Yohana 8:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa hiyo Yesu akasema: “Mara tu mkiisha kumwinua+ Mwana wa binadamu,+ ndipo mtakapojua kwamba mimi ndiye,+ na kwamba sifanyi jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ bali kama vile Baba alivyonifundisha, ndivyo ninavyosema mambo haya.+

  • Yohana 12:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 kwa sababu sijasema kutokana na msukumo wangu mwenyewe, bali Baba mwenyewe aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki