Mathayo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Kulikuwa pia na sauti+ kutoka mbinguni iliyosema: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa,+ ambaye nimemkubali.”+ Yohana 3:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baba humpenda Mwana+ naye ametia vitu vyote mkononi mwake.+ Yohana 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndiyo sababu Baba ananipenda,+ kwa sababu ninaitoa nafsi yangu,+ ili nipate kuipokea tena. 2 Petro 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu,+ wakati maneno ya namna hii yalipotolewa kwake kwa utukufu wenye fahari: “Huyu ni mwanangu, mpendwa wangu, ambaye mimi mwenyewe nimemkubali.”+
17 Tazama! Kulikuwa pia na sauti+ kutoka mbinguni iliyosema: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa,+ ambaye nimemkubali.”+
17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu,+ wakati maneno ya namna hii yalipotolewa kwake kwa utukufu wenye fahari: “Huyu ni mwanangu, mpendwa wangu, ambaye mimi mwenyewe nimemkubali.”+