Waroma 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wala msiendelee kuvitoa viungo vyenu kwa dhambi+ kuwa silaha za ukosefu wa uadilifu,+ bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai+ kutoka kwa wafu, pia viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha+ za uadilifu. Waefeso 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 alitufanya hai pamoja na Kristo, tulipokuwa wafu katika makosa+—kwa fadhili zisizostahiliwa ninyi mmeokolewa+—
13 Wala msiendelee kuvitoa viungo vyenu kwa dhambi+ kuwa silaha za ukosefu wa uadilifu,+ bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai+ kutoka kwa wafu, pia viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha+ za uadilifu.
5 alitufanya hai pamoja na Kristo, tulipokuwa wafu katika makosa+—kwa fadhili zisizostahiliwa ninyi mmeokolewa+—