24 Sasa, tazama! msukosuko mkubwa ukatokea katika bahari, hivi kwamba mashua ilikuwa ikifunikwa na mawimbi; hata hivyo, yeye alikuwa amelala usingizi.+
48 Na alipowaona wakitaabika+ katika kuvuta kwao makasia, kwa maana upepo ulikuwa ukivuma kinyume chao, karibu kesha la nne la usiku akawaendea, akitembea juu ya bahari; lakini alitaka kuwapita.