22 “Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu Mnazareti,+ mwanamume aliyeonyeshwa hadharani na Mungu kwenu kupitia kazi zenye nguvu+ na mambo ya ajabu na ishara ambazo Mungu alifanya kupitia kwake katikati yenu,+ kama vile ninyi wenyewe mnavyojua,
17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu,+ wakati maneno ya namna hii yalipotolewa kwake kwa utukufu wenye fahari: “Huyu ni mwanangu, mpendwa wangu, ambaye mimi mwenyewe nimemkubali.”+