23 Yesu akajibu, akamwambia: “Ikiwa yeyote ananipenda, atalishika+ neno langu, na Baba yangu atampenda, nasi hakika tutakuja kwake na kukaa pamoja naye.+
4 Kaeni katika muungano pamoja nami, na mimi katika muungano pamoja nanyi.+ Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa matunda likiwa peke yake lisipokaa katika mzabibu, vivyo hivyo ninyi hamwezi, msipokaa katika muungano pamoja nami.+
24 Zaidi ya hayo, yeye ambaye hushika amri zake hukaa katika muungano na yeye, na yeye katika muungano na mtu huyo;+ na kwa jambo hili sisi tunajua kwamba yeye anakaa katika muungano na sisi,+ kwa sababu ya roho+ ambayo alitupa sisi.