Mathayo 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na mwenye furaha ni yule asiyepata ndani yangu sababu ya kukwazika.”+ Yohana 6:66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Kwa sababu ya hili wengi kati ya wanafunzi wake wakaenda zao kwenye mambo yaliyo nyuma+ wakawa hawatembei tena pamoja naye.+
66 Kwa sababu ya hili wengi kati ya wanafunzi wake wakaenda zao kwenye mambo yaliyo nyuma+ wakawa hawatembei tena pamoja naye.+